Jumamosi, 26 Desemba 2015

David Livingstone

David Livingstone
Henry Morton Stanley akikutana na David Livingstone huko Ujiji
Sanamu ya Livingstone huko Victoria Falls (Zimbabwe)
David Livingstone (*19 Machi 1813 – +4 Mei 1873) alikuwa misionari na mpelelezi kutoka Uskoti katika Afrika ya kusini na kati. Alijulikana kwa jitihada zake za kupambana na biashara ya watumwa na safari za kati ya Afrika ya Kusini na Tanganyika hadi Kongo.

Maoni 5 :

  1. Majibu
    1. Usijali bwana john uria endelea kufatia blog hii kwani utapata mengi mazuli

      Futa
    2. Usijali bwana john uria endelea kufatia blog hii kwani utapata mengi mazuli

      Futa
  2. Poa poa endelea kufatilia utapata mambo mengi mazuli

    JibuFuta
  3. Poa poa endelea kufatilia utapata mambo mengi mazuli

    JibuFuta