Ijumaa, 25 Desemba 2015

Afrika ya Mashariki ya Kijerumani

Afrika ya Mashariki ya Kijerumani
Bendera ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani
Nembo ya Afrika ya Mashariki ya Kijerumani
Mwanzo wa utawala wa kikoloni1885
Makao ya serikali ya kikoloniBagamoyo hadi 1891 halafu Daressalam
Eneo995.000 km²
Wakazi7.700.000 (1913)
Wakazi Wajerumani4100 (1913)
PesaRupie= 64 Pesa,
kuanzia 1904
1 Rupie = 100 Heller
Nchi huru za leo1961 Tanganyika, tangu 1964 Tanzania
Ramani ya Kijerumani ionyeshayo Zanzibar na pwani (mnamo 1888)
Afrika ya Mashariki ya Kijerumani (au: ya Kidachi) ilikuwa jina la koloni yaUjerumani huko Afrika ya Mashariki kati ya 1885 hadi 1918/1919.
Eneo lake lilijumlisha nchi za kisasa zaTanzania bara (bila Zanzibar), Burundina Rwanda. Ilikuwa koloni kubwa kabisa ya Dola la Ujeruman

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni