Jumapili, 27 Desemba 2015

VITA VYA MAJI MAJI



Vita ya Maji Maji ulikuwa upingaji mkali wa Waafrika katika Tanganyika Kusini dhidi yautawala wa kikoloni katika koloni laUjerumani ndani ya Afrika Mashariki.
Vita hivyo vilishirikisha baadhi ya makabila ya kusini mwa Tanzania ya leo dhidi ya utawala wa Kijerumani katika kukabiliana na sera ya Kijerumani iliyoundwa kwa nguvu kuwalazimisha watu wa Tanganyika kulima zao lapamba.
Vita hivyo vilidumu kuanzia mwaka1905 hadi 1907.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni