AFRICATradition
Jumapili, 27 Desemba 2015
VITA VYA MAJI MAJI
Vita
ya Maji Maji
ulikuwa upingaji mkali wa Waafrika katika
Tanganyika
Kusini
dhidi ya
utawala wa kikoloni
katika
koloni
la
Ujerumani
ndani ya
Afrika Mashariki
.
Vita hivyo vilishirikisha baadhi ya ma
kabila
ya kusini mwa
Tanzania
ya leo dhidi ya utawala wa Kijerumani katika kukabiliana na
sera
ya Kijerumani iliyoundwa kwa nguvu kuwalazimisha watu wa Tanganyika kulima
zao
la
pamba
.
Vita hivyo vilidumu kuanzia
mwaka
1905
hadi
1907
.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni