AFRICATradition
Ijumaa, 25 Desemba 2015
JE WAJUWA
Usultani wa Zanzibar
Eneo la Usultani wa Zanzibar mnamo 1885
Usultani wa Zanzibar
ulikuwa nchi kwenye
pwani
ya
Afrika mashariki
kati ya
1856
na
1964
.
Tangu
1890
ilikuwa
nchi lindwa
chini ya
Uingereza
.
Ilianzishwa wakati wa kugawa
Usultani
wa
Omani
mwaka
1856
ikaishia mwaka
1964
baada ya
mapinduzi ya Zanzibar
na
muungano
na
Tanganyika
uliozaa
Tanzania
.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni