Jumamosi, 26 Desemba 2015

HI NI HISTORY YA TANGA

Jiji la Tanga
Skyline ya Jiji la Tanga
Jiji la Tanga is located in Tanzania
Jiji la Tanga
Jiji la Tanga
Mahali pa mji wa Tanga katika Tanzania
Anwani ya kijiografia:5°4′12″S 39°5′24″E / 5.07°S 39.09°E
NchiTanzania
MkoaTanga
WilayaTanga
Idadi ya wakazi
 -224,876
historia ya Tanga (ca 1906)
Mji wa Tanga ni mji mkuu wa Mkoa wa Tanga uliyoko ufukoni mwa Bahari ya Hindi. Tanga ina bandari kubwa kabisa katika sehumu ya kaskazini mwaTanzania. Njia ya reli kwenda Mji waMoshi inaanza hapa.
Jina hili la mji wa Tanga lilitokana neno la Kiajemi lenye maana nne tofauti ambazo ni: Iliyo nyooka; Bonde lenye rutuba; Barabara upande wa mto na Shamba juu ya mlima, neno hilohilo laTanga kwa kabila la Kibondei ambalo ni wenyeji wa mkoa huo linamaana ya shamba, wao hulitamka N'tanga

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni